Sale!
Adili Na Nduguze
KSh450.00 KSh399.00
“Ingawa kitabu hiki kimetaja habari za malaika na majini, na viumbe wa ajabu, hiyo ni kwa sababu ya utunzi tu. Mambo hasa yaliyotiliwa mkazo ndani yake ni ardhi na mimea yake; machimbo na hazina zake; mifugo na mazao yake; biashara na faida yake; safari na manufaa yake; utajiri na umaskini na ndugu na matendo yao. Mambo haya huwahusu watu wengi kama si dunia nzima.” – SHAABAN ROBERT
“Maudhui mazito yaliyobebwa na hadithi hii ya kusisimua yamekifanya kitabu iki kitumike tena na tena katika kufundisha Fasihi ya Kiswahili katika ngazi ya Elimu ya Sekondari.” – MHARIRI
Reviews
There are no reviews yet.